1. Chanjo ya COVID-19 ni chanjo salama yenye mafanikio mazuri ya 94% 
  2. Huwezi kupata ugonjwa wa COVID-19 kutoka chanjo ya COVID-19. Chanjo ya COVID-19 haina virusi haikwa hivyo huwezi kupata ugonjwa wa COVID-19 kupitia chanjo. 
  3. Majaribio ya chanjo ya COVID-19 yalikuwa makubwa kuliko yote duniani. Kwa kawaida utafiti kuhakikisha ubora wa chanjo unakuwa na watu kama 5,000 ila jaribio la Modera lilikuwa na watu 30,000 na jaribio la Pfizer-BioTech lilikuwa na watu 40,000 
  4. Chanjo za COVID-19 hazisababishi matatizo ya kiuzazi. Hakuna uthibitisho kwamba watu wliopata chanjo ya COVID-19 wanapata shida za kiuzazi 
  5. Haikuwa na changamoto kubwa wakati wa majaribio ya chanjo ya COVID-19. Kuna dalili zinazotokea kwa kawaida kwa watuo wanochanjwa kwa COVID-19, lakini siyo dalili kubwa sanaDalili za kawaida zinafanana na dalili za chanjo zingine kama uchovumaumivu ya kichwana maumivu ya misuli 
  6. Chajo za COVID-19 hazitabadilisha DNA au vinasaba vyakoChanjo haziwezi kubadlilisha DNA ya mtu 
  7. Chanjo hazina teknolojia yoyote ya ufuatiliaji. Hakuna teknolojia yoyote ya ufuatililaji au udhibithi kwenye chanjo ya COVID-19 
  8. Chanjo hazisababishia usonji au tawahudiKuna utafiti unaoendelea duniani unaonyesha kwamba hakuna uhusiano kati ya usonji na chanjo ya COVID-19